Timu ya yanga imeadhibiwa na shirikisho la soka la Tanzania kufuatia tafrani ya jumamosi ambapo wachezaji wake walimpiga refa wa pambano hilo. picha ifutayo inaonesha sakata hilo
wachezaji wa yanga wakimpiga refa Nkongo Jumamosi iliyopita.zaidi bonyeza hapa http://www.mwanaspoti.co.tz/wcreadnews.php?id=10962
No comments:
Post a Comment