TIME YA MANCHESTER UNITED LEO IMEVUTWA SHATI BAADA YA KULAZIMISHWA KUTOKA SARE YA 4 KWA 4 KATI YAKE NA EVERTON, MPINZANI WAKE KATIKA MBIO ZA UBINGWA MAN CITY IMEIBUGIZA WOLVE KWA JUMLA YA MAGOLI 2 kufuatia kazi nzuri ya nasri na aguelo sasa mahasimu hao wanapishana kwa point 3 tu ambapo mchezo unaofuata utawakutanisha wao wenyewe tarehe 30 april
http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/17718140
http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/17718154
No comments:
Post a Comment