Sunday, April 22, 2012

MAN UNITED YAVUTWA, MAN CITY YACHANJA MBUGA

TIME YA MANCHESTER UNITED LEO IMEVUTWA SHATI BAADA YA KULAZIMISHWA KUTOKA SARE YA 4 KWA 4 KATI YAKE NA EVERTON, MPINZANI WAKE KATIKA MBIO ZA UBINGWA MAN CITY IMEIBUGIZA WOLVE KWA JUMLA YA MAGOLI 2 kufuatia kazi nzuri ya nasri na aguelo sasa mahasimu hao wanapishana kwa point 3 tu ambapo mchezo unaofuata utawakutanisha wao wenyewe tarehe 30 april http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/17718140 http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/17718154

No comments:

Post a Comment